UVCCM TAIFA WAMPONGEZA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Na Saleh Ramadhani.DODOMA. UMOJA wa vijana wa chama cha Mapinduzi CCM Taifa umempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Hassani Suluhu kwa kupata nafasi ya kuliongoza taifa la Tanzania.  Hayo yamebainishwa leo jijini Dodoma na Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Herry James wakati akizungumza na waandishi